Harmonize (kwa jina lake halisi Rajab Abdul Kahali ; mara kadhaa hujiita "Konde Boy"; amezaliwa Chitoholi , mkoa wa Mtwara , 15 Aprili 1994) ni mwimbaji na mtunzi wa muziki kutoka Tanzania . Alianza kuvuma kwa kibao chake cha kwanza " Aiyola " (2015), Bado (2016), Matatizo ( 2016) na baadaye akatoa nyimbo na msanii mwenzie kutoka lebo moja ya WCB (Wasafi Classic Baby) ambaye ni Diamond Platnumz . Aliamua kuhama WCB na kuanzisha lebo yake Konde Music Worldwide [1] . Kwa ngwaru ni wimbo ambao ulibamba karibia maeneo yote ya Afrika ya Mashariki akatoa kibao kingine kiitwacho inama nyimbo ambayo aliimba na msanii kutoka nje ya Tanzania ambaye anaitwa burna na diamond Platnumz alikuwepo kwenye huo wimbo. Sasa hivi anatamba na kibao kiitwacho Never Give Up, wimbo ambao unaelezea historia ya maisha yake kuanzia alivyo kuwa na maisha magumu sana. Harmonize anasimamiwa na Joel Joseph au kwa jina lingine Mr Puaz. Kwa sasa msanii huyu yuko peke yake baada ya ku...
Harmonize amsainisha Ibraah kama msanii wa kwanza Konde Gang Msanii chipukizi, Ibraah Tz ameandika historia kama msanii wa kwanza kusajiliwa katika record Label ya Muziki ya Konde Music Worldwide, iliyo chini ya msanii Harmonize. kupitia mitandao yake ya kijamii, Konde Boy IG amethibitisha kuwa Ibraah sasa ni msanii rasmi wa Konde Gang. Harmonize alishukuru uongozi wa Konde Gang kwa kuahidi kuendelea kujinyima ili Ibraah aweze kutimiza ndoto zake. Konde Boy pia alimmiminia Ibraah sifa tele huku akihakikishia mashabiki wake kuwa, siku yenye atastaafu mambo ya usanii, ana Imani msanii huyo mpya ataendeleza kazi yake. “Naweza sema bila shaka hata ikitokea siku siimbi muziki tena naamini Ibraah ni mtu ambaye anaweza fanya kila ninacho fanya .” Alisema Harmonize. Msanii huyo wa zamani wa Wasafi Classic, alitangaza usajili wa Ibraah siku moja tu baada ya Diamond kutangaza kumsajili zuChu, ambaye ni mwanawe Khadija Kopa. Hivi basi yatakuwa mashindano kati ya label hizi mbili na ...
Stalk the stalker, watch it pounce upon its prey, see millions of animals crossing a river, track gorillas, live in the wild and discover unusual species while you’re at it. A wildlife safari is one of the biggest charms of any African adventure and Tanzania is perhaps the best country for a journey into the wild. Tanzania’s national parks are designed to suit all kinds of interests, preferences and comfort levels, and you can be rest assured that there is a safari which is perfect for you. But before you embark on your safari adventure, you need to make one of the biggest decisions – which park to visit and which park to leave out. Serengeti or Ngorongoro feel like the most obvious places to be, but it is equally possible that you have a much better time in one of the lesser-known parks. Bookmundi recommends you to ask yourself the following questions as they should help you zero in on the best national park in Tanzania. Below we are listing highlights , lowlights , and facts abou...
Comments
Post a Comment