Harmonize (kwa jina lake halisi Rajab Abdul Kahali ; mara kadhaa hujiita "Konde Boy"; amezaliwa Chitoholi , mkoa wa Mtwara , 15 Aprili 1994) ni mwimbaji na mtunzi wa muziki kutoka Tanzania . Alianza kuvuma kwa kibao chake cha kwanza " Aiyola " (2015), Bado (2016), Matatizo ( 2016) na baadaye akatoa nyimbo na msanii mwenzie kutoka lebo moja ya WCB (Wasafi Classic Baby) ambaye ni Diamond Platnumz . Aliamua kuhama WCB na kuanzisha lebo yake Konde Music Worldwide [1] . Kwa ngwaru ni wimbo ambao ulibamba karibia maeneo yote ya Afrika ya Mashariki akatoa kibao kingine kiitwacho inama nyimbo ambayo aliimba na msanii kutoka nje ya Tanzania ambaye anaitwa burna na diamond Platnumz alikuwepo kwenye huo wimbo. Sasa hivi anatamba na kibao kiitwacho Never Give Up, wimbo ambao unaelezea historia ya maisha yake kuanzia alivyo kuwa na maisha magumu sana. Harmonize anasimamiwa na Joel Joseph au kwa jina lingine Mr Puaz. Kwa sasa msanii huyu yuko peke yake baada ya ku...
Mikumi National Park Mikumi is Tanzania’s fourth-largest national park. It’s also the most accessible from Dar es Salaam. With almost guaranteed wildlife sightings, it makes an ideal safari destination for those without much time. Since the completion of the paved road connecting the park gate with Dar es Salaam, Mikumi National Park has been slated to become a hotspot for tourism in Tanzania. Located between the Uluguru Mountains and the Lumango range, Mikumi is the fourth largest national park in Tanzania and only a few hours drive from Tanzania’s largest city. The park has a wide variety of wildlife that can be easy spotted and also well acclimatized to game viewing. Its proximity to Dar es Salaam and the amount of wildlife that live within its borders makes Mikumi National Park a popular option for weekend visitors from the city, or for business visitors who don’t have to spend a long time on an extended safari itinerary. ...
COVID-19 Update: PM Majaliwa Delivers Good News To Tanzanians opera.com Apr 22, 2020 1:21 PM Below is a photo of the Tanzanians President John Pombe Magufuli. Prime Minister of Tanzania, Kassim Majaliwa today on 22nd April 2020,speaking at the national prayers at the Karimjee Grounds has given Tanzanian citizens the up to date of the pandemic corona virus cases. He delivers Good news to the Tanzanians reporting NO death case since the last brief made by Ummy Mwalimu who reported 84 confirmed cases and 3 deaths as on Monday 20th April 2020. Good news to Tanzania that today the number of confirmed cases is almost a third of those reported on Monday. This brings down the panic Tanzanians had and brings hope that no day is coming that they will report more than their previous record of high corona cases in one day in East Africa of 84 cases. Today,Prime Minister Kassim Majaliwa,reports cases to have risen by 30 cases totalling the total number of the confir...
Comments
Post a Comment